Saturday, 27 July 2013

UhuruMiaka 51: NiniKimebadilikakwenyeHisabati?

BenielSeka
Hesabunisomotuliloendeleanalobaadayakupatauhuru.Katikashulezamsingidarasa la kwanza hadi la nne, somolilijikitakatikakuhesabu, kujumlisha, kutoa, kuzidishanakugawanyanamba. Piahesabuzafedhazikiwapoankra, vipimonawakativilikuwavinafundishwa. Mkazouliwekwakwenyekukaririorodhayakuzidisha (Tebo) pamojanahesabuzakichwa.
VipimovilihusumfumowaKiingerza (British Emperial System of measurements). Katikamfumohuo, kulikuwanavipimovyaurefuambavyonipamojanainchi, futi, yadi, ‘cheini’ (chain)namaili. Vipimovyauzanivilikuwawakia, ratili, ‘hundredweight (CWT)’ natani. Vipimovyaujazovilikuwanipamojanapanti (pint), ‘kwati’ (quart), galoninadebe.
Uhusianokatiyakipimokimojanakingineulikuwamgumu. Kwamfano, futimojailikuwanainchi 12. Yadimojailikuwanafuti 3 au inchi 36. ‘Cheini’mojailikuwanayadi 22 namailiilikuwanayadi 1760 au chain 80. Wakia 16 vilifanyaratilimojawakatiratili 112 zilikuwasawana hundredweight moja. ‘Handrediweiti’ 20 zilifanyatanimojaambayoilikuwasawanaratili 2240.Nalodebelilkuwalinajazwakwagaloni 4.
Vitabuvilivyokuwavinatumikawakatihuovilikuwavimeandikwanawazungu.Vitabuhivyovilitumikahatabaadayauhuru.Hiiilitokananakutokuwepojitihadamaalumuzakuhamasishawazalendokuandikavitabuvyakitaaluma.Mfanommojanikitabukiitwacho ‘Misingiya Geometry’ (Foundations of Geometry) kilichoandikwana Kenneth Anderson mwaka1963. Kitabuhichokilitafsiriwakwa Kiswahili mwaka 1964.
Baadhiyenumtakumbuka vile vitabuvilivyoitwa ‘HesabuzaKikwetu’ villivyoandikwanaE.Carey Francis nawenzake. Hivivilikuwanapichayatwigakwenyejalada lake kuashiriakuwavilikusudiwakwa Tanganyika. Vingineni vile vilivykusudiwakwashulezilizokuwazinafundishwakwalughayaKiingereza. Kwamfano, ‘Highway Arithmetics’ vilivyokuwanapichazatwiga, simba, tausinamashuaviliandikwakwaajiliyashulezaAfrikayamashariki.
Baadaya Tanzania kuzaliwa, mabadilikoyalianzakujitokeza.Shuleza Kati (Middle schools)zilifanywasehemuyaelimuyamsinginakuitwa ‘Upper Primary Schools’. Shulenyinginezamsingizilianzakuingizadarasa la tanonakuendelea. Shulehiziziliitwa ‘Extended Primary Schools’.Kuanzia 1966 darasa la nanelilianzakuondolewahatuakwahatua. Kwahiyo, elimuyamsingiikawainaishiadarasa la saba. Mabadilikohayoyalisababishamabadilikokadhaayamitaala.
MojayamabadilikokwenyeHisabatini ‘hesabumpya’ zilizofanywakwamajaribiokatikabaadhiyashule .Hesabuhizizilitokananamkutanowawanahisabatiuliofanyka Entebbe, Uganda. MkutanohuouliofadhiliwanampangowaElimuwaAfrika( Education Services, Incorporated) ulisababishavitabuvyaHisabatikuandikwakwaajiliyamajaribio.Waandish 30 kutokaAfrika, MarekaninaUingerezawalihusika. Shule 16 zikihusishamadarasa 17 zilishirkikwenyejaribio.
Kuwepokwajaribiohilokulifunguaukurasampyakwabaadhiyawaandishiwazawa.Waandishihaonipamojana Raphael Mwajombena Michael Kinunda (wotesasamarehemu). Mwajombealiandika ‘Setininini?’ naKinundaaliandika ‘FurahiaHeabu’. Baadayajaribio, kitabu cha kwanza cha ‘Hesabu Tanzania’ kilitayarishwana ‘Mahematics Unit’ ambachonikitengokilichoundajopo la wandishikatikaWizarayaElimuyaTaifamwaka 1967.
Kusudi la mpangohuompyawahesabuulikuwakuwasaidiawanafunzikumuduhesabuza ‘kisasa’ (wakatihuo) kwanamna bora ilivyowezekananakuwasaidiawagunduemawazonadhanazakihesabuwenyewe. “Tunatakawanafunziwajifunzenawafikiriejuuyahesabu bora.” Hayanimanenoyaliyondikwanawaandishikatikadibajiyakitabu cha kwanza cha Hesabu Tanzania, Kiongozi cha Mwalimu.
Darasa la kwanza lilitawaliwanamawazomapyayaseti. Dhanayaungano lasetiilifundishwasanjarinatendo la kujumlisha. Dhanayasetitupuambaposifurisiosetitupuiliwachanganyasanabaadhiyawalimu. Baadhiyawalimualiwapotoshawanafunzikwakuwaambiakuwaunganonakujumlishanikitukilekile.Hiyosikweli.
Miakayasabinimwanzoni, Baraza la Kiswahili la Tanzania (BAKITA) liliundaneno ‘hisabati’ kuwatafsirisanifuyaneno ‘mathematics’ ambalonipanazaidikuliko ‘hesabu’.Hesabuni ‘arithmetics’ wakatihisabatiinajumuishahesabu, jometrinaaljebra. Hatahivyo, kunabaadhiyawatuhadisasawanaoendeleakuliitasomo la hisabatikwaneno‘hesabu’.
TaasisiyaElimuiliyoundwa 1975 kamashirika la ummachiniyaWizarayaElimu, ilipewajukumu la kukuzamitaalakiitaifa. Mwaka1979, TaasisihiyoilifanyatathminiyaufundishajiwaHisabatikatikashulezamsingi Tanzania Bara. Tathminihiyoilioneshakuwawanafunziwalikuwawanamuduvizurimadayaseti.Madazamlandanonayamkinizilikuwangumukwangaziyamsingi. Tathminiilipendekezamadahizoziondolewenaileyasetiibaki.
VitabuvipyaviliandikwanaTaasisiyaElimukwakuzingatiamapendekezohayo. Kablayavitabuhivyokusambazwa, WaziriwaElimualivionanakustukakwambamadayasetiilikuwepo. WabungewaJamhuriyaMuunganowalikuwawamehojiuhalaliwamadahiyokatikangaziyamsingi. Hivyoaliagizamadahiyoiondolewe. Hiiilisababishavitabuhivyokuchelewakutumikanakusababishawanafunzikuendeleakutumiavitabuvyazamani.
Badiliko la wazilinalojitokezakatikavitabuhivyoniutumiajiwavipimovyametriki. Tangumwanzowanafunziwanajifunzavipimovyameta,kilometa, sentimetanamilimetakwakupimaurefu. Kilogramu,gramunamiligramuvimeelezewakwaajiliyakupimauzani. Kwenyeujazo, litaimekuwandiokigezokikuu.Piautumiziwaalamayamkatoumeondolewakwendanaagizo la viwangodunianikuachakufanyahivyokuondoautataunaojitokezakwanchimbalimbali.
Hatimayevitabuhivyovilitokamwaka 1983.Vitabuhivyoviliendeleakutumikashulenihadi sera yavitabuvingiilipoanzakufanyakazi.Kwa sera hiyo,vitabuvilivyoandikwanaTaasisiyaElimu, ambayoilishabadilishwajinanakuitwaTaasisiyaUkuzajiMitaala (TUM), vilichukuliwanakampunizauchapishajikwakuvisasishanakuviboresha.
Vitabuvingi, vikiwapovyaHisabatikwaVitendo,vilipunguzatatizo la upungufuwavitabushuleni. TUMilibadilikajinatenanakuitwaTaasisiyaElimuTanzania (TET). Mwaka 2005 TET ilibadilishamitaalayashulezamsinginakusababishamabadilikokadhaayamhutasariwaHisabati.Muhtasariulitajaujuziunaohitajikakukamilishamalengoyaliyokusudiwa.
Mabadilikohayayalihitajimhamowaruwazaambapomwalimuanatakiwaamfanyemwanafunzikuwakitovu cha ufundishajikwakutambuauzoefuwamwanafunzinaafundishekwakuwajengeawanafunzimaanayadhana. Piawanafunziwanatakiwawajifunzekwavitendoiliwajijengeeujuzi.
Seminambalimbalizimefanyikakuwaelimishawalimukuhusuufundishajiunaozingatiaujuzi.AidhaTaasisiyaElimu Tanzania imeshaandaamiongozoyakuwasaidiawalimukufanyahilojukumujipya. Mambo hayoyamefanyikakatikajitihadazakuinuakiwango cha uelewawasomo la Hisabatihapanchini.

END


No comments:

Post a Comment